Friday, April 13, 2012

The 1st Chilren Arts Festival

Hatimaye tamasha la kwanza la watoto la sanaa (The first Arts Festival) lafanyika. Tamasha hili limefanyika leo hii tarehe 17/12/2011 kuanzia saa 9:00am -4:30pm. Tamasha hili lilihudhuriwa na watu mbali mbali na maonesho yalifana sana. Yafuatayo ni matukio katika picha.

Watoto wa TCTC Tabata wakiimba wimbo wa Bob Rudala katika Tamasha hilo.
Watoto wa Shada kutoka Bagamoyo wakionyesha Sarakasi.
Watoto wa friends of Don Bosco kutoka Kimara-Suka wakicheza Mganda
Ukumbi wa Nyumba ya utamaduni ulivyolipendezesha Tamasha
Mwenyekiti (Chairperson) Akifunga Tamasha

Mtoto wa KAOMU High view Nursery and Primary school kutoka Mbagala akipokea zawadi.
Na hawa ndio walikuwa wanakamati wa Tamasha hili la kwanza

Tamasha lilibarikiwa na Uwepo wa Bob Rudala mwenyewe Pamoja na wasanii wengine kama Raza na Vitalis Maembe.
Bob Rudala
Vitalis Maembe akiwa na Chanjo ya Rushwa

Tamasha liliahirishwa kwa mategemeo kufanyika tena mwakani mwaka 2012.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...